MSODOKI
Msanii Young Killer anasema mpenzi wake anayempenda sana na ambaye mara nyingi amekuwa akimuweka kwenye mitandao ya kijamii, wametoka mbali wana miaka 8 hadi kwa sasa. Hategemei kama ni mtu ambaye anaweza kuachana nae kwa sasa na anaamini kuwa wanaweza kuwa mke na mume.Nini ungependa kumshauri au kumwambia Young Killer?
0 comments:
Post a Comment