Picha | Timaya wa Nigeria akutana na Rihanna, Rihanna aupenda wimbo wa Bum Bum.

Picha | Timaya wa Nigeria akutana na Rihanna, Rihanna aupenda wimbo wa Bum Bum.


Msanii kutoka Nigeria Timaya ameonekana kwenye visiwa vya Barbados kwenye tamasha la muziki akiwa na Bad girl Rihanna. Timaya  na Rihanna walipiga picha pamoja na baadae Rihanna alionekana akicheza wibo wa Timaya ‘Bum Bum’. Inasemekana kuna collabo inakuja na itafanywa na Don Jazzy.