Picha | Kcee wa Nigeria akutana na Akon kibiashara zaidi.

Picha | Kcee wa Nigeria akutana na Akon kibiashara zaidi.

Mwimbaji wa Nigeria Kcee anayefahamika kwa hit kama ‘Limpopo’ amepata nafasi ya kukutana na C.E.O Wa Konvict music records na Kon Live Distribution ‘Akon’ alivyokuwa Nigeria katika Project yake ya Light Up Africa mji wa Lagos ambapo alifikia katika hotel ya Eko.Kcee ameonekana akiwa kwenye mazungumzo marefu na Akon yanayosemekana kuwa ni biashara zaidi.