Timaya kwenye issue yake ya ubakaji inampa wakati mgumu

Timaya kwenye issue yake ya ubakaji inampa wakati mgumu.


Imekuwa furaha kubwa sana kwake Timaya baada ya kutangaza rasmi kwa kupata jina la mtoto wao wa kike. Mtoto huyu mwenye mwezi mmoja na siku chache amepewa jina Grace.
Pia kuhusu zile tuhuma za ubakaji zilizoletwa mbele ya mashabiki wa Timaya na mwanamke aliyefahamika kama Shella B zinaendelea kuharibu maisha ya Timaya baada ya mwanadada huyo kuonyesha ripoti ya polisi inayohusishwa na tukio hilo.Maswali kwa baadhi ya fans wa Timaya>>> Je Timaya ataruhusiwa tena kwenye kufanya show nchini Marekani ?
Mpaka Shella B ametoa wimbo unaozungumzia tukio lote la kubakwa na Timaya.
Picha ya mtoto Grace@via Instagram


Post ya Shella B@via Instagram